KILIMO CHA PILIPILI KICHAA SEHEMU YA PILI

KILIMO CHA PILIPILI KICHAA Zao la pilipili kizao ni zao lingine ambalo limeanza kupata umaarufu katika soko la Dunia ambalo sasa litakuwa zao la ziada kwa wakulima wadogo kujiongezea kipato.Mmea huu hurefuka nakuweza kufikia urefu wa mita moja na nusu likitunzwa vizuri Zipo aina mbalimbali za pilipili kichaa lakini inayowika katika soko la dunia ni ile inayotoka Africa (African Bird's Eye Chilli) Pilipili kichaa toka Africa inaweza kuchanganywa na Mazao mengine kama kilimo mseto na Pia inaweza kulimwa kama zao la Biashara..Kwa kuanzia unaweza kulilima katika robo eka na kuendelea hadi hekta moja na zaidi MASOKO Zao hili lina masoko ya ndani ya nchi na nje na ukuitaka kulilima unaingia mkataba na mnunuzi wa hapa nchini Tanzaniia na nje. MATUMIZI. Zao hili hutumika kama kiungo katika mboga.Kwneye mahospitali kwa tiba,Mabomu ya machozi., Kiuatilifu ya mazao mbalimbali pia hutumika viwandani kuzalishaa bidhaa mbalimbali. MAHITAJI KATIA UZALISHAJI WA MMEA HUU Mwinuko...